Ripoti ya CAG : Bombardier Dash 8 (Q3000) Haijafanya Kazi Kwa Miaka 3

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



ATCL imepata hasara kwa kuwa ndege 1 imekuwa matengenezoni kwa zaidi ya miaka 3 huku uendeshaji wa Ndege 2 (Boeing-B787) ulizidi Mapato na kusababisha hasara ya Tsh. bilioni 23.61
-
Hadi kufikia Juni 30, 2021, ATCL ilikuwa na Ndege 9 ambapo Boeing (B787) ni 2, Bombardier (Q400) ni 4, Airbus (A220) ni 2 na Bombadier Dash-8 (Q300) ni 1
-
Ndege 6 (Bombardier- Q400 na Airbus-A220) ndizo ziliweza kujiendesha kwa faida ya Tsh. bilioni 12.26 na Tsh. bilioni 12.09 mtawalia kwa mwaka ulioishia Juni 30, 2021

#CAGReport2022 #JamiiForums
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad