AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii imeshangaza kidogo baada ya wezi wawili walioingia nyumba ya ajuza na kuiba TV, microwave na vitu vingine wadondoka kisha kupitiwa na lindi la usingizi
Tukio limetokea tarehe 14 mwezi huu wa nne huko Pretoria, Afrika kusini ambapo baada ya wezi hao kuiba walipofika mlango wa kutokea ili watokomee ghafla wakaanguka na kupitiwa na usingizi mzito
Nini maoni kwa wezi hawa?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK