Wezi Wapitiwa na Usingizi Kwenye Nyumba Walioenda Kuiba Vitu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hii imeshangaza kidogo baada ya wezi wawili walioingia nyumba ya ajuza na kuiba TV, microwave na vitu vingine wadondoka kisha kupitiwa na lindi la usingizi

Tukio limetokea tarehe 14 mwezi huu wa nne huko Pretoria, Afrika kusini ambapo baada ya wezi hao kuiba walipofika mlango wa kutokea ili watokomee ghafla wakaanguka na kupitiwa na usingizi mzito
Nini maoni kwa wezi hawa?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad