AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezaji kiungo kutokea Klabu ya Simba Benard Morisson amewaomba mashabiki zake kuacha kumpgia simu kwani anahisi simu yake itapasuka😂
Kupitia ukurasa wake wa instagram Morisson ameandika
“Naheshimu sana upendo mlionionyesha, sichukulii poa hata kidogo.
Niliwaomba mnitumie Elfu moja lakini sasa simu na meseji ninazozipokea zinaenda kuuwa simu yangu, Birthday imeisha sasa naomba msinipigie tena, Mkiharibu simu yangu nitarudi hapa kuomba simu mpya.
Asante kwa aliyenipigia na kunitumia meseji NAWAPENDA PIA.” - @bm3gh
Siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwake (Mei, 20) Morisson aliwaambia mashabiki zake wamtumie Elfu moja kwenye namba yake kama zawadi kwa ajili ya birthday yake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
111111
ReplyDelete