Hamisa Mobetto Afunguka lini na Nini Kilimvutia Rick Ross Kwake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Nakumbuka nilikua nipo LIVE Instagram, tena ilikua Kipindi cha Ramadhani . ndipo ambapo @richforever aliweza kuniona na nadhani alipenda uwezo wangu wa kujieleza na baada ya hapo ndio mambo mengine yakafuata "

" Kuhusu kufanya Ngoma na @richforever, ni kwamba kuna wimbo ambao tunaufanya na utakua ni wimbo wake ambao kuamua kunishirikisha . Na Projects nyingi nyingi tu zitakuja " - @hamisamobetto
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad