Kitambulisho Cha NIDA Kutumika Kama Dhamana Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma ametoa maagizo kwa mahakimu kurahisisha masharti ya dhamana kwa Watanzania kujidhamini kwa kutumia Kitambulisho cha Taifa (NIDA) katika mfumo wa haki jinai badala ya kutegemea watu wengine.

"Mtu anapojidhamini kwa kutumia kitambulisho cha Taifa anakuwa ameacha uraia wake mahakamani, hivyo hawezi kwenda popote bila kitambulisho hicho na kwamba inakuwa rahisi kumpata endapo atatoroka,” amesema Jaji Mkuu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad