AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma ametoa maagizo kwa mahakimu kurahisisha masharti ya dhamana kwa Watanzania kujidhamini kwa kutumia Kitambulisho cha Taifa (NIDA) katika mfumo wa haki jinai badala ya kutegemea watu wengine.
"Mtu anapojidhamini kwa kutumia kitambulisho cha Taifa anakuwa ameacha uraia wake mahakamani, hivyo hawezi kwenda popote bila kitambulisho hicho na kwamba inakuwa rahisi kumpata endapo atatoroka,” amesema Jaji Mkuu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK