Rais Samia atoa utaratibu kuondoa ucheleweshwaji mafao ya wastaafu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais Samia Suluhu Hassan amewaagiza waajiri kuaandaa malipo ya wastaafu wanaotarajia kustaafu kabla ya mtumishi kuondoka ofsini.


Amesema hakuna sababu ya watumishi kuendelea na usumbufu wa kusubiri mtandao kwa kuwa taarifa za mtumishi zinajulikana kwa mwajiri miezi sita kabla ya mfanyakazi kustaafu.


“Naagiza ndani ya kipindi cha miezi sita, maafisa raslimali watu wanapaswa kushughulikia taarifa za mtumishi. Mifuko nayo ifanye uhakiki wa malipo ya mfanyakazi kuepusha mizunguko,” amesema Rais Samia


Mwaka jana serikali ilitenga jumla ya Sh trilioni 2.17 kwa ajili ya kulipa deni la mafao kwa wanachama waliorithiwa kutoka uliokuwa mfuko wa pensheni wa PSPF na LAPF.


Kujenga mfumo wa kielektroniki uliounganishwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA, Malipo ya mafao yameanza kufanyika ndani ya siku 60.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad