Sababu za Simba SC kuachana na Bernard Morrison ni mwenendo mbaya wa kiwango chake, kuchagua mechi za kucheza vizuri, utovu wa nidhamu, kutoroka kambini usiku, mawasiliano na watu wa Yanga SC.
Morrison alisajiliwa Simba miaka miwili iliyopita akitokea Yanga.
HT: Mwanaspoti
HABARI HIZI ZA UDAKU ZINAPATIKANA KATIKA APP YA UDAKU SPECIAL, IDOWNLOAD>> HAPA BURE
Hajielewi
ReplyDelete