AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sababu za Simba SC kuachana na Bernard Morrison ni mwenendo mbaya wa kiwango chake, kuchagua mechi za kucheza vizuri, utovu wa nidhamu, kutoroka kambini usiku, mawasiliano na watu wa Yanga SC.
Morrison alisajiliwa Simba miaka miwili iliyopita akitokea Yanga.
HT: Mwanaspoti
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hajielewi
ReplyDelete