Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Jiji la Arusha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dkt. John Pima pamoja na baadhi ya watumishi wa halmashauri hiyo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za Serikali TZS milioni 233 zinazodaiwa kuwekwa kwenye akaunti za watu binafsi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad