Kingu "Anayepinga Utendaji wa Rais Samia ni Kichaa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2022/2023, jijini Dodoma leo.

Kingu amesema kama kuna mbunge anayepinga ufanyaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa ni kichaa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad