AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwili wa Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya, Michael Samson, aliyeuawa na mwili wake kukutwa umetenganishwa kichwa na kiwiliwili na kisha kuviringishwa kwenye duveti na blanketi na kutupwa kwenye mto huo, umeagwa hii leo.
Viongozi wa dini na waumini, wakiongozwa na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya ambaye pia ni Rais wa Baraza la Maaskofu Wakatoliki Tanzania (TEC) Gervas Nyaisonga, wameshiriki zoezi la kuaga mwili wa Padri huyo aliyeuawa Juni 11, 2022 na mwili wake kupatikana eneo la Sabasaba jijini Mbeya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK