Mwili wa Padri Aliyeuawa na Kutenganishwa Waagwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwili wa Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya, Michael Samson, aliyeuawa na mwili wake kukutwa umetenganishwa kichwa na kiwiliwili na kisha kuviringishwa kwenye duveti na blanketi na kutupwa kwenye mto huo, umeagwa hii leo.
Viongozi wa dini na waumini, wakiongozwa na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya ambaye pia ni Rais wa Baraza la Maaskofu Wakatoliki Tanzania (TEC) Gervas Nyaisonga, wameshiriki zoezi la kuaga mwili wa Padri huyo aliyeuawa Juni 11, 2022 na mwili wake kupatikana eneo la Sabasaba jijini Mbeya.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad