Serengeti Girls kundi moja na Ufaransa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limepanga makundi ya Fainali za Kombe la Dunia kwa Wasichana chini ya umri wa miaka 17.

Fainali hizo zitazopangwa nchini India baadae mwaka huu, zitashuhudia Tanzania ikishiriki kwa mara ya kwanza ikitokea Barani Afrika.

Timu ya taifa ya Tanzania chini ya miaka 17 (Serengeti Girls) imepangwa Kundi D na timu za Ufaransa, Canada na Japan.

Timu nyingine kutoka Afrika zitakazoshiriki Fainali hizo ni Morocco iliyopangwa Kundi A na Nigeria iliyoangukia Kundi C.


 
Fainali hizo zimepangwa kuanza kuunguruma Oktoba 11 hadi 30.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad