AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afisa Habari wa Yanga SC, Hassan Bumbuli, ameeleza kuwa skruu ya Kombe la ASFC ilikuwa imelegea kutokana na kushikwa na watu wengi.
Bumbuli ameeleza hayo leo, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mara baada ya kusambaa kwa video ikionyesha Kombe la Azam Sports Federation kama limevunjika.
"Kilichotokea ambacho kinasambaa na watu wanakisambaza mtandaoni lile Kombe huwa kuna wakati linasafishwa huwezi ukaliweka likakaa vile.
"Kuna wakati limepigwa vumbi linatakiwa lisafishwe kwahiyo wanaweka skruu kwa ajili ya kulifungua hiki mnakisafisha peke yake, kile pake yake mnakirudishia.
"Kwasababu sisi ni wengi huyu kalishika yule kalishika skruu ikawa imelegea.
"Lakini kombe lipo liko imara zuri.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK