AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mdada kwa jina la Tracy ameenda kununua Ice cream dukani lakini baada ya kufungua bakuli husika ndio akakutana na mauzauza hayo chura huyo akiwa ameganda kwenye Ice cream
Amesema inavyoonekana hata duka husika nao walipewa hivyo toka kiwandani kwani Ice cream ilikuwa imefungwa vizuri haikuonesha kufunguliwa
Amesema atairudisha duka husika aliponunua ingawa anahisi wanaweza wasimuamini kuhusu chura hilo lililoganda kwenye Ice cream hiyo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK