Sallam SK amejibu tuhuma za baadhi ya watu kwamba alikuwa akimbania Alikiba kwenye game la muziki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Sallam SK amejibu tuhuma za baadhi ya watu kwamba alikuwa akimbania Alikiba kwenye game la muziki

Akihojiwa katika kipindi cha SalamaNa, Sallam amesema tuhuma hizo hazina ukweli wowote, akifafanua kwamba ni ngumu kumbania Alikiba sababu alikuwa anafanya kazi na Seven Mosha kama meneja wake. Sallam amesema Seven Mosha ni mmoja wa mameneja bora Africa mashariki kama si Africa na tayari alishafanya kazi MTV

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad