AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sallam SK amejibu tuhuma za baadhi ya watu kwamba alikuwa akimbania Alikiba kwenye game la muziki
Akihojiwa katika kipindi cha SalamaNa, Sallam amesema tuhuma hizo hazina ukweli wowote, akifafanua kwamba ni ngumu kumbania Alikiba sababu alikuwa anafanya kazi na Seven Mosha kama meneja wake. Sallam amesema Seven Mosha ni mmoja wa mameneja bora Africa mashariki kama si Africa na tayari alishafanya kazi MTV
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK