AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
TIMU ya taifa ya soka (Taifa Stars) leo ni mgeni wa Somalia katika mchezo wa kufuzu fainali za Ubingwa wa Afrika kwa wachezaji wa ndani(CHAN) zitakazofanyika Algeria 2023.
Mchezo huo wa kwanza utafanyika uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Tanzania itakuwa mwenyeji katika mchezo wa marudiano utakaofanyika Agosti 30 kwenye uwanja huo huo wa Benjamin Mkapa.
Ratiba ya michezo mingine ya kufuzu CHAN ni kama ifuatavyo:
Malawi vs Zimbabwe
Shelishali vs Madagascar
Botswana vs Eswatini
Gambia vs Guinea-Bissau
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK