Basi La Jambo Lateketea Kwa Moto, Hofu Yatanda Juu ya Vifo na Majeruhi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



BASI la Kampuni ya Jambo Food Products lenye namba za Usajli T.841 DHY linalotumika kubeba wafanyakazi wa kampuni hiyo limeteketea kwa moto mapema asubuhi ya leo Ijumaa, Agosti 12, 2022 katika eneo la Bugweto Mjini Shinyanga.

Aidha, bado haijafahamika iwapo kuna majeruhi ama vifo vilivyotokea kutokana na ajali hiyo ambayo imetokea wakati basi hilo likitoka kupeleka wafanyakazi.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad