AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BASI la Kampuni ya Jambo Food Products lenye namba za Usajli T.841 DHY linalotumika kubeba wafanyakazi wa kampuni hiyo limeteketea kwa moto mapema asubuhi ya leo Ijumaa, Agosti 12, 2022 katika eneo la Bugweto Mjini Shinyanga.
Aidha, bado haijafahamika iwapo kuna majeruhi ama vifo vilivyotokea kutokana na ajali hiyo ambayo imetokea wakati basi hilo likitoka kupeleka wafanyakazi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK