AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
msemaji wa klabu ya Yanga Haji Sunday Manara usiku wa jana ameamua kumuuomba msamaha waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa.
Manara kupitia mitandao yake ya kijamii amepost clip ikimuonyesha akimuomba Waziri msamaha kutokana na sababu aliyoieleza.
Ikumbukwe Manara amefungiwa na TFF miaka miwili na kupigwa faini ya milioni 20 kutokana na maneno mabaya aliyomtolewa rais wa TFF Waleci Karia ikiwemo matusi.
Manara wakati akizungumza baada ya hukumu yake alimshutumu Waziri mwenye dhamana ikiwemo kuwatuma TFF kuwa wampe adhabu hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK