Klabu ya Simba imeomba Radhi kwa Waumini wa Dini ya Kikristo Sakata la Msalaba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Klabu ya Simba imeomba radhi kwa Waumini wa Dini ya Kikristo, Viongozi wa Madhehebu yote ya Kikristo, Serikali, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania na Jamii kwa ujumla kwa usumbufu uliojitokeza kwenye Tamasha la Simba Day August 08 mwaka huu.

Katika Tamasha hilo Msanii Tunda Man aliingia Uwanjani kutumbuiza akitumia mavazi na vifaa na ishara ambayo imeibua hisia za kuwakera wengi hasa Waumini na Viongozi wa Dini ya Kikristo.

“Kwa kuheshimu imani za Watu wote tumelazimiia kuomba radhi kwa tukio hilo, hata hivyo Simba hatukufahamu kama Tundaman atatumia aina hiyo ya maudhui kwani siku ya majaribio hakufanya hivyo”

“Vilevile tumewataka Wasanii hao waombe radhi kwa Hamii ambapo wamekiri na kuahidi kufuata hatua stahiki katika kuomba radhi na kujutia kosa hilo”

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad