Mauza Uza ya Kifo Yamtesa Bondia Tyson..Aanza Kuwaomba Msamaha Aliyewakosea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mike Tyson; ni bondia maarufu mstaafu wa Marekani ambaye anasema kuwa, kuna matukio mengi anayakumbuka kwenye maisha yake, lakini kubwa anajutia kumng’ata sikio bondoa mwenzake, Evander Holyfield, tukio ambalo alilifanya Novemba 9, 1996.

Tyson anasema; “Ikiwa unaona au kuhisi kuna sauti inakutesa katika maisha yako, usijihukumu, bado una muda wa kuifuta na kujirekebisha pale ulipokosea.


“Kuna mambo mengi ninayoshukuru. Hata hivyo, kuna mambo mengi niliyotenda nyuma nikiyatazama najuta.


“Tukio maarufu la kuuma sikio ni tukio ambalo lingenitesa katika maisha yangu yote.


“Ninashukuru kwa dhati kwamba nilipata fursa ya kurekebisha matendo yangu na kwamba Evander alikuwa mwenye neema ya kutosha kunisamehe. “Ninamheshimu sana na nina furaha kwamba urithi wetu kama binadamu si lazima uelezewe katika wakati huu mgumu.”


Tyson mwenye umri wa miaka 66 anadaiwa kuwa kwenye hali mbaya kiafya na amekuwa akiwaomba msamaha watu wote aliowakosea akidai kuona kifo chake kipo karibu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad