Mwimbaji wa Muziki Toka Nigeria, Kizz Daniel Ameomba Radhi Watanzania kwa Kutokutokea Kwenye Show ya Summer Amplified..Kufanya Show Bure

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji wa muziki toka Nigeria, Kizz Daniel ameomba radhi Watanzania kwa kutokutokea kwenye show ya Summer Amplified mwishoni mwa wikiendi iliyopita na kusema haondoki Tanzania hadi afanye show Ijumaa hii Jijini Dar es salaam ambapo waliolipia awali watapata nafasi ya kutazama show bila kulipia.


"Naipenda kazi yangu, nilikuja kutumbuiza na ninakusudia kutumbuiza. Ni matumaini yangu kwamba mtanipa nafasi nyingine ya kutumbuiza Ijumaa hii." - Ameeleza Kizz Daniel akizungumza na waandishi wa habari usiku huu.


Hitmaker huyo wa "BUGA" amebainisha kwamba alikubaliana na waandaaji wa Summer Amplified kwamba ataomba radhi kwa mashabiki na kuandaa show nyingine.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad