Radi Yapiga Nje ya White House na Kuuwa Watu Wawili Hapo Hapo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Siku ya jana Radi ilishuka Nje ya White House, Ikulu ya Marekani, na kuua Watu wawili ambao ni Wanandoa walijulikana kwa majina yao James Mueller, 76, na Donna Mueller, 75, Baada ya radi kupiga nje kidogo ya Ikulu ya White House.

Msemaji wa DC Metro Police aliviambia vyombo vya Habari kuwa “watu wengine wawili waliojeruhiwa katika Tukio hilo bado wapo Hospital huku hali zao zikiwa bado mbaya, Majina ya Majeruhi yamehifadhiwa kwa mujibu wa taratibu za kisheria”.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad