AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku ya jana Radi ilishuka Nje ya White House, Ikulu ya Marekani, na kuua Watu wawili ambao ni Wanandoa walijulikana kwa majina yao James Mueller, 76, na Donna Mueller, 75, Baada ya radi kupiga nje kidogo ya Ikulu ya White House.
Msemaji wa DC Metro Police aliviambia vyombo vya Habari kuwa “watu wengine wawili waliojeruhiwa katika Tukio hilo bado wapo Hospital huku hali zao zikiwa bado mbaya, Majina ya Majeruhi yamehifadhiwa kwa mujibu wa taratibu za kisheria”.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK