AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa familia na wanachama wa chama cha TLP, kufuatia kifo cha mwenyekiti wa chama hicho Augustino Mrema kilichotokea leo asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili iliyopo mkoani Dar es Salaam.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Rais Samia amesema atamkumbuka Mrema katika mchango wake kwenye mageuzi ya siasa, uzalendo na upendo kwa Watanzania.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK