AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya msanii ghali zaidi nchini Tanzania @diamondplatnumz kutangaza kukununua ndege, tumezungumza na @viiiaviation ambao wamemsaidia msanii huyo kufanya manunuzi yz ndege hiyo kwa kuwa wana uzoefu mkubwa.
Bwana Yusuph Kazi ambaye ni CEO wa kampuni hiyo amedai ndege ya Diamond ni kubwa na ina uwezo wa kusafiri masafa marefu bila kupumzika.
Pia amedai ndege hiyo pia unaweza kutumika katika dharura za matibabu kwa kuwa zina mfumo huo.
VIDEO:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK