AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Mkuu wa Finland, Sanna Marin (36) amefanyiwa vipimo kuthibitisha kuwa hana vimelea vya Dawa za Kulevya za aina yoyote ndani ya mwili wake baada ya video kuvuja ikimuonesha akicheza muziki na kula bata na marafiki zake.
Waziri huyu alisema wakati akiwa kwenye shughuli hio hakutumia dawa za kulevya, Baada ya video hio kusamba wapinzani wake wameitumia kulazimisha afanya vipimo hivyo, haya ni mambo yake binafsi na amesikitishwa yalivyosambaa hadharani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK