Antony Joshua Akubali Kuzichapa Tena Disemba na Mwanamasumbwi Tyson Fury Baada ya Kuombwa Pambano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Tyson Fury Kuzichapa Na Joshua mwezi Disemba

TYSON Fury amemwita Anthony Joshua kwenye “Batle of  Britain”; Bondia Antony Joshua amejibu kwenye Twitter, akisema atakuwa tayari kupigana Desemba;

 

Oleksandr Usyk hatarajiwi kuwa tayari kwa pambano lisilopingika la ubingwa wa uzito wa juu na Fury mwaka huu.


Oleksander Usyk

Tyson Fury alikua anahitaji kukutana na Bondia Olexander Usyk ambaye alifanikiwa kumpiga bondia Antony Joshua na kutetea ubingwa wake. Usyk hayupo tayari kupigana mwaka huu.

 

Imeandikwa:Dunstan Mtili Erick kwa msaada wa Mitandao

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad