AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Yanga imemtangaza mchambuzi wa michezo kutoka Azam Media, Ali Kamwe kuwa Afisa Habari na Mawasiliano mpya wa klabu hiyo.
Kamwe anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Hassan Bumbuli baada ya kumaliza muda wake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK