AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba SC imevunja mkataba na kocha Zoran Maki, Kocha wa viungo Sbai Karim na Kocha wa makipa Mohammed Rachid kwa makubaliano ya pande zote.
Kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya KMC kikosi kitakua chini ya Selemani Matola huku mchakato wa haraka wa kutafuta kocha mpya ukiendelea. h
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK