Calm Down Remix ya REMA Feat Selena Gomez Views Milioni Tatu Ndani ya Masaa 22 tu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kolabo kati ya Selena Gomez na Rema ni moja ya kolabo ambayo wengi hawakuitarajia, hata audio ilipotoka kuna mijadala ilikuwa ikiendelea Twitter na Wanigeria kuwa “AFROBEATS IS NOT FOR EVERYONE” yani Muziki wa Afrobeats sio wa kila mtu, hasa wakiweka picha za Wasanii wa kigeni kwenye muziki huu, huku wakiwasifu Ed Sheeran na Chris Brown kwa kuuweza.


Lakini matamanio ya wengi ni kuona video ya Calm Diwn remix itakuwaje. Kiufupi chupa kali halina vurugu vurugu na linakupa raha ya kulitazama, ikiwa lina masaa 22 pekee pale YouTube, limeondoka na zaidi ya watazamaji 3M.

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad