Kajala na Harmonize hawana habari na tozo, wanakula bata hatarii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kajala na Harmonize hawana habari na tozo, wanakula bata hatarii

Maisha wanayoishi mastaa Kajala Masanja na Rajabu Abdul ‘Harmonize’ ni kama vile sio Wabongo, wanaishi kama mbele vile.

Suala la kwenda mapumzikoni katika mbuga za wanyama kwa ajili ya kupumzisha akili sio mpaka waandikiwe na daktari, wanafanya hivyo mara kwa mara.

Safari hii, mnara umesoma Lake Manyara National ambapo wawili hao wanaonekana wakila bata kwenye swimming pool wakiwa wawili tu na mpiga picha wao maalum ambaye hakuonekana pichani.

Kajala kuna wakati alikuwa na kigauni cha uchokozi kabla hajabaki na kinguo maalum cha kuogelea ambacho kinaacha sehemu kubwa ya mwili wake wazi.

Baadhi ya maoni kwenye picha hizo ambazo Kajala kaziposti kwenye ukurasa wake wa Instagram, wapo waliompongeza lakini wengine wakiuliza kama wao hawajaguswa na makali ya tozo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad