AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Soka ya Simba imemtangaza Juma Mgunda kuwa kocha wa muda wa klabu hiyo atakayesaidiana na Seleman Matola, kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Nyassa Big Bullet ya nchini Malawi. Anaripoti Mwandishi Wetu.
Mchezo huo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa utapigwa tarehe 10 Septemba 2022, ambapo Mgunda atakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kitakachosafiri hapo baadae kuelekea nchini Malawi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK