Mwanafunzi wa Miaka 17 Ajitoa Uhai Kwa Kutumia Bastola ya Mjomba Wake...Aacha Ujumbe Mwili Wake Uchomwe Moto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanafunzi anayefahamika kwa jina la Robert Meier (17) aliyekuwa akisoma katika Shule ya ST. Maria Goreti kidato cha tatu amefariki dunia kwa kujiua kwa kutumia bastola ya Mjomba wake huku akiacha ujumbe kwamba mwili wake uchomwe moto halafu majivu yake yachukuliwe yakawekwe pembeni ya kaburi la Baba yake lililopo nchini Marekani.

Juma Ramadhani ambaye alishuhudia mwili huo ukiwa umelazwa chini majira ya saa tisa za usiku baada ya Kijana huyo kujiua, alipoulizwa na Polisi amesema anamfahamu kwa kuwa alikuwa anapita eneo hilo akiwa anakwenda Shule.

Kamanda wa Polisi Mkoani Kilimanajro Saimon Maigwa amesema tukio hilo ni la kweli na Wanamshikilia Mjomba wa Marehemu kwa kushindwa kuhifadhi silaha hiyo vizuri.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad