AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kikosi cha Simba SC kimewasili salama mjini Lilongwe-Malawi tayari kwa mchezo wa Mkondo wa kwanza wa Hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Nyassa Big Bullets.
Simba SC ilianza safari jijini Dar es salaam-Tanzania mapama leo Alhamis (Septamba 08) Alfajiri ikiwa na Kocha Mkuu wa Muda Juma Mgunda ambaye atasidiana na Kocha Seleman Matola, baada ya kuondoka kwa Kocha Zoran Maki.
Kwa mujibu wa kurasa za Mitandaio ya Kijamii za Simba SC, Kikosi cha Simba SC kimewasili mjini Lilongwe asubuhi hii, na kitacheza mchezo wake dhidi ya Nyasa Big Bullets Jumamosi (Septamba 10).
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK