Tetemeko Kuu la Ardhi China Lasababisha Watu kupotea, Waokoaji Wawatafuta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




ZOEZI la kuendelea kuwaokoa watu nchini china linaendelea japokuwa kimbunga hicho kimeua watu wasiopungua 65 na wengine wengi kutoweka na kutokuonekana katika mkoa wa Sichuan kusini magharibi kutokana na janga hilo na wengine kujeruhuwa.

 

Siku ya juma nne waokowaji walitembelea vifusi vilivyo sababishwa na tetemeko hilo ilikuangalia manusura na wale waliopotea baada ya tetemeko ambalo liliitikisa majengo ambayo yalikuwa mbali na mji mkuu wa mkoa wa Chengdu.


Waokoaji na majeruhi China

Idara ya utabiri wa hali ya anga nchini imeonya kuwa Luding pia itakumbana na mvua kwa siku tatu, na hivyo kutatiza juhudi za uokoaji.

 

Imeandikwa: leocardia Charles kwa msaada wa mitandao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad