Mwanafunzi Ajinyonga Mwalimu Kumtaka Anyoe Nywele

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Langalanga, Shamamcy Wanjiru (17) amekutwa amejinyonga ndani ya nyumba yao eneo la Kaloleni Estate nchini Kenya baada ya kupewa agizo na shule kunyoa nywele zake.

Kulingana na bibi yake, Jane Wairimu, marehemu alikuwa amepewa adhabu hiyo na mwalimu wake baada ya yeye na wanafunzi wengine kukutwa wakiwa wanachana nywele zao shuleni.

Inadaiwa, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Bi Rufina Nkonge alimrudisha nyumbani kwa mlezi wake kwa nia ya kujadili suala hilo baada ya kushindwa kunyoa nywele zake pamoja na barua iliyomtaka mlezi wake afike shuleni mnamo Septemba 28, 2022 ili kujadili suala la binti huyo kunyoa nywele zake.

Zaidi tembelea swahilitimes.co.tz
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad