AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Staa wa muziki nchini, msanii @rayvanny akiwa nchini Afrika Kusini amesainishwa mkataba mnono na kampuni maarufu ya usambazaji wa muziki iitwayo @ziikimedia. Kwa mujibu wa Rayvanny ameutaja mkataba huo kuwa umemfanya awe Bilionea mpya.
Ziiki Media ambayo makao yake makuu ni Afrika Kusini inafanya kazi na wasanii zaidi ya 50 kutoka Tanzania, Kenya na Nigeria.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK