Aliyepigwa Risasi Kwenye Kampeni Asema Anaanzia Alipoishia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan amesema maandamano ya kuipinga serikali kuelekea mji mkuu Islamabad yataendelea kesho Jumanne.


Maandamano hayo yalisitishwa katika wilaya ya Wazirabad mashariki mwa mkoa wa Punjab baada ya Khan kujeruhiwa kwa risasi katika jaribio la kutaka kumuua.


Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan akiongea mara baada ya kutoka Hospitalini hapo jana Novemba 6, 2022. Picha ya Tribune India.

Akizungumza akiwa kwenye kiti cha magurudumu katika hospitali ya Shaukat Khanun alikokuwa amelazwa, Khan amerudia tena matakwa yake kutaka uchunguzi ufanywe kuhusu kushambuliwa kwa risasi.

Aidha, ametaka maafisa watatu wenye mamlaka makubwa serikalini na jeshini wajiuzulu, akidai walihusika kupanga shambulizi dhidi yake ambalo pia lilisababisha kifo cha mfuasi wake mmoja na wengine 13 kujeruhiwa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad