Bwana Harusi Mtarajiwa Ajinyonga Kabla ya Kufunga Ndoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


BWANA HARUSI MTARAJIWA AJINYONGA KABLA YA KUFUNGA NDOA: Daktari mmoja aliyekuwa akihudumu kwenye zahanati katika Kitongoji cha Saghana wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro amefariki dunia kwa kujinyonga kwa kutumia shuka yake ikiwa zimebaki siku 29 kabla ya kufunga ndoa.

Taarifa kutoka kijijini hapo zinasema Joseph Patrick Ngonyani (33) alijinyonga Novemba 26, siku ambayo alipaswa kwenda ukweni kwake Kijiji cha Lotima nchini Kenya kukamilisha taratibu za mahari.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad