Kadi nyekundu ya kwanza Kombe la Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




GOLIKIPA wa timu ya taifa ya Wales, Wayne Hennessey leo amekuwa mchezaji wa kwanza kutolewa uwanjni kwa kadi nyekundu katika michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea Qatar.

Iran imeshinda kwa mabao 2-0 katika mechi ya awali kundi B dhidi ya Wales.

Hennessy amezawadiwa kadi hiyo nyekundu baada ya kumcheza mrafu Mehdi Taremi wa Iran katika dakika dakika 86.

Bao la kwanza la Iran limefungwa na Rouzbeh Cheshmi dakika 98 huku Ramin
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad