AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
GOLIKIPA wa timu ya taifa ya Wales, Wayne Hennessey leo amekuwa mchezaji wa kwanza kutolewa uwanjni kwa kadi nyekundu katika michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea Qatar.
Iran imeshinda kwa mabao 2-0 katika mechi ya awali kundi B dhidi ya Wales.
Hennessy amezawadiwa kadi hiyo nyekundu baada ya kumcheza mrafu Mehdi Taremi wa Iran katika dakika dakika 86.
Bao la kwanza la Iran limefungwa na Rouzbeh Cheshmi dakika 98 huku Ramin
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK