AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya Taifa ya Marekani imekuwa timu ya kwanza kuwasili nchini Qatar kati ya timu za mataifa 31 zinazotarajiwa kushiriki kombe la FIFA la Dunia mwaka huu.
Marekani imewasili usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Doha ikiwa zimebaki siku 9 kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la FIFA la Dunia 2022.
Marekani imepangwa kundi B katika michuano ya mwaka huu pamoja na England, Wales na Iran
Michuano ya Kombe la FIFA la Dunia inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Novemba 20, 2022 na kufikia kilele Disemba 18, 2022.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK