AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Serikali imesema inafuatilia taarifa za kukamatwa kwa wasafiri saba wakiwemo wanne waliotoka Tanzania wakiwa na kilo 61 za dhahabu zenye thamani ya randi 320 milioni (TZS bilioni 9.18) katika Uwanja wa Ndege wa Mumbai nchini India.
Mkurugenzi wa Ukaguzi na Biashara wa Tume ya Madini Tanzania (TMC), Venance Kasiki amesema wanaendeea kufanya uchunguzi kujiridhisha kama kweli madini hayo yametoka Tanzania ili kuliepusha taifa na utakatishaji wowote ambao unaweza kuwa umepangwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK