AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wachezaji wa Saudi Arabia watazawadiwa gari aina ya Rolls Royce Phantom baada ya kuifunga Argentina kwenye Kombe la Dunia la Fifa 2022.
Rolls Royce itazawadiwa kwa kila mchezaji mmoja mmoja na Mfalme wa nchi hiyo, na hii si mara ya kwanza kwa zawadi za gharama kubwa kuzawadiwa wachezaji wa nchi hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK