AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu watatu wamepoteza maisha na wengine 18 kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha magari manne katika eneo la Nyakato Sokoni jijini Mwanza
Ajali hiyo imetokea leo Desemba 1/2022 saa mbili asubuhi ambapo inadaiwa loli hilo lilifeli breki na lilipofika kwenye taa za kuongozea magari katika eneo la Nyakato sokoni ndipo likagonga magari manne na kusababisha ajali hiyo iliyouwa watu watatu huku dereva akikimbia
Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Wilbroad Mutafungwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK