Mauaji ya Mwandishi Kenya yalipangwa: Ripoti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ripoti ya timu ya uchunguzi kutoka nchini Pakistan, imesema mauaji ya Mwandishi wa Habari Arshad Sharif (50), yaliyotokea nchini Kenya yalipangwa.


Ripoti hiyo imetolewa ikiwa ni wiki kadhaa baada ya mauaji hayo ya kutatanisha kuzusha shutuma na miito ya kufanywa uchunguzi huru, huku taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi la Kenya ikikinzana na ripoti hiyo ya mauaji hayo.



Nyumba ya milele ya Mwandishi wa Habari Arshad Sharif (50), aliyeuawa nchini Kenya. Picha ya IPI

Aliyeuwa mke na mtoto ahukumiwa kunyongwa

Tayari Polisi Islamabad, imewafungulia mashitaka wafanyabiashara wawili wa Kipakistan wanaoishi Kenya ambao walikuwa ni wenyeji wa mwandishi Arshad Sharif, kwa kuhusika na mauaji yake.


Sharif alikuwa mafichoni nchini Kenya, ili kukwepa kukamatwa nyumbani kwa tuhuma za kudhalilisha taasisi za kitaifa za Pakistan ambapo maafisa wa Pakistan walikwenda Kenya ambako walikutana na Polisi na wenyeji wa Sharif, ambao ni ndugu wawili Kuram na Wagar Ahmed.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad