AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika hali ya sintofahamu kuhusiana na ndoa ya #Manara na mkewe #RushayNah, inaelezwa kuwa ipo matatani baada ya wawili hao kufuta urafiki wao katika kurasa zao za #Instagram.
Huku mrembo #RushayNah ambae alifunga ndoa na #Manara mwaka jana na kuwa mke mdogo kushindwa kuzuia hisia zake kwa kuja juu na kutaka video yake ifutwe katika kurasa moja ya #Instagram iliyokuwa inayoonesha #Manara na #RushayNah wakicheza muziki iliyosindikizwa kwa ujumbe usemao “Bugati na Pisi yake”.
.
.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK