AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bondia Mtanzania @k_mandonga amedai alionyeshwa video ambao inasambaa mtandaoni kwamba amedundwa kwa KO na Mkenya, Wanyoni.
Pambano hilo lilikuwa gumzo Mtandaoni kutokana na tambo za mabondia hao ambazo zilivuta hisia za mashabiki wengi wa Kenya na Tanzania.
Mandonga amedai baada ya kuona clips za uvumi kwamba amedundwa ilimpa nguvu mpya yakutaka kuonyesha uwezo wake na akafanikiwa.
Kwa mujibu waandaji wa pambano walidai Mandonga alikuwa apambane kama mtangulizi lakini baada ya kuona hamasa imekuwa kubwa wakaona wamuweke wa mwisho.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK