Mbappe, Lionel Messi kukipiga tena Uarabuni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kikosi cha Klabu Bingwa nchini Ufaransa PSG kimewasili mjini Doha kwa ziara, ambapo inatarajiwa kucheza michezo ya kirafiki na kikosi cha wachezaji wa ligi ya Saudi Arabia ‘Saudi All Stars Team’, Januari 19, 2023.


Cristiano Ronaldo ambaye anakipiga katika klabu ya Al Nassir ya Saudi Arabia, amejumuishwa katika kikosi cha ‘Saudi All Stars Team’ kitakachocheza mchezo wa kirafiki dhidi ya PSG inayotumikiwa na nyota wa Argentina, Lionel Messi.


Mara ya Mwisho Messi na Ronaldo kukutana uwanjani ilikuwa ni msimu wa mwaka 2020/21 kwenye mchezo wa ligi ya Mabingwa Barani Ulaya Hatua ya Makundi, FC Barcelona dhidi ya Juventus ambapo Ronaldo alifunga magoli mawili ya Penati katika ushindi wa magoli 3-0 walioupata Juventus katika Dimba la Camp Nou.


Kikosi cha PSG pia kinamjumuisha Mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe pamoja na Beki wa Kulia Achraf Hakimi, ambao kwa pamoja walikuwepo nchini Qatar wakati wa Fainali za Kombe la Dunia 2022, zilizounguruma kuanzia Novemba 18 hadi Desemba 20, 2022.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad