MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makala Amtupia Dongo Haji Manara Kiana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makala ambaye ni mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa Uchaguzi wa Simba unaofanyika leo Januari 29, amemtupia kijembe aliyekuwa Ofisa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Haji Manara.

Akizungumza na Wanachama waliojitokeza katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam, Makala amesema Simba kumpa nafasi Ahmed Ally imempata mtu sahihi zaidi kuliko aliyeondoka.

"Wanasimba mnapaswa kujivunia sana kwa kupata mtu sahihi kama, Ahmed Ally kwani ameonyesha ana uwezo mkubwa wa utambuzi wa mambo," amesema Makala akishangiliwa kwa nguvu na maelfu ya Wanachama waliojitokeza kwenye Ukumbi huo.

Manara aliyejizoelea umaarufu kabla ya kujiunga na Yanga alikuwa msemaji wa Simba.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad