AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Ndoa ya pili nilimuoa mtoto wa Kichaga. Nilivyomuoa nilikwenda kuishi naye Zanzibar. Nilikaa naye kule yakanishinda, nilimkera, nilimfanyia vitu vya ajabu. Tulirudi Dar. Nilikuwa nakaa kwao" Mzee Yusuph ameiambia Clouds TV na kuongeza
"Tulivyoachana nilikwenda kuchukua vitu vyangu. Aliniambia 'Kwendaaa! 'Mlango ulee! Nilijisikia aibu. Nawaambia wanaume wasikae kwa wake zao. Nilihisi aibu Sana na wakati ule nilishakuwa na nyimbo kama Nitadumu Naye, Kipendacho Roho.
"Na yeye ndiye niliyemuimbia Kipendacho Roho maana alikuwa mwembamba Sana na Maneno yalikuwa mengi"
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK