Mzee Yusufu "Nilioa Nikaishi Kwa Mwanamke Kisha Akanifukuza Kama Mbwa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Ndoa ya pili nilimuoa mtoto wa Kichaga. Nilivyomuoa nilikwenda kuishi naye Zanzibar. Nilikaa naye kule yakanishinda, nilimkera, nilimfanyia vitu vya ajabu. Tulirudi Dar. Nilikuwa nakaa kwao" Mzee Yusuph ameiambia Clouds TV na kuongeza

"Tulivyoachana nilikwenda kuchukua vitu vyangu. Aliniambia 'Kwendaaa! 'Mlango ulee! Nilijisikia aibu. Nawaambia wanaume wasikae kwa wake zao. Nilihisi aibu Sana na wakati ule nilishakuwa na nyimbo kama Nitadumu Naye, Kipendacho Roho.

"Na yeye ndiye niliyemuimbia Kipendacho Roho maana alikuwa mwembamba Sana na Maneno yalikuwa mengi"
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad