TMA yatahadharisha mvua kubwa mikoa 6

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa hali ya hewa huku ikitoa angalizo la mvua kubwa kunyesha leo Jumamosi katika maeneo machache ya mikoa ya Iringa, Njombe, Ruvuma, Morogoro, Singida na Dodoma.

Katika taarifa hiyo, TMA imeeleza athari zinazoweza kujitokeza kuwa ni baadhi ya makazi kusombwa na maji, maeneo ya mabondeni kuzungukwa na maji pamoja na ucheleweshwaji wa shughuli za uchumi na usafirishaji.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad