Huyu ni Mtanzania Aliyechagua Kuchomwa Sindano ya KIFO ili Apumzike Kutokana na Maumivu ya Ugonjwa wa Kansa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


February 24 mwaka 2019 Lizy Mtango, mtanzania aliyekua akiishi nchini Ujerumani akiugua kansa ya damu kwa muda mrefu (leukemia) alilazimika kuchomwa sindano ya kifo ili apumzike kutokana na mateso ya ugonjwa huo. Silent death (euthanasia) ni utaratibu unaoruhusiwa kwa baadhi ya nchi duniani kwa makubaliano kati ya daktari na mgonjwa mwenyewe. Huduma hii hutolewa kwa wagonjwa walio kwenye maumivu makali na walioteseka kwa muda mrefu na kufikia hatua ya kukata tamaa. Lizy alitumia mtandao wa Whatsapp kuwaaga rafiki zake. Leo ni miaka minne tangu alipotwaliwa katika maisha haya.!

By Malisa GJ

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad